Leseni

Radio Kicheko Live imepokea rasmi leseni ya utangazaji kwa redio kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Leseni hiyo ya miaka mitano ilikabidhiwa kwa Mkurugenzi mwenza wa Radio Kicheko Live, Mrs Phlaviana Kavishe, huko Arusha tarehe 25 Juni 2019 na Kaimu Mkurugenzi wa Kanda ya Kaskazini, Ms Imelda Salum. Radio Kicheko Live inarusha matangazo yake katika […]


Current track

Title

Artist

Background